• HABARI MPYA

    Wednesday, June 10, 2020

    KOCHA MBELGIJI WA YANGA SC, LUC EYMAEL ATUA DAR NA MKEWE MPYA, KESHO KUIFUATA TIMU SHINYANGA KUIVAA MWADUI FC JUMAMOSI KAMBARAGE

    Kocha Mbelgiji wa Yanga SC, Luc Eymael (katikati) akiwa na mkewe mpya, wa tatu (kushoto) baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) leo mchana kuungana na timu yake kwa ajili ya kumalizia msimu na kesho atasafiri kwa ndege kukifuata kikosi Shinyanga tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Jumamosi Uwanja wa Kambarage 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KOCHA MBELGIJI WA YANGA SC, LUC EYMAEL ATUA DAR NA MKEWE MPYA, KESHO KUIFUATA TIMU SHINYANGA KUIVAA MWADUI FC JUMAMOSI KAMBARAGE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top