Kocha Mbelgiji wa Yanga SC, Luc Eymael (katikati) akiwa na mkewe mpya, wa tatu (kushoto) baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) leo mchana kuungana na timu yake kwa ajili ya kumalizia msimu na kesho atasafiri kwa ndege kukifuata kikosi Shinyanga tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Jumamosi Uwanja wa Kambarage
The summer of ’76 – when superheroines landed on TV
-
July 1, 1976. At the height of Britain’s most-famous long, hot summer,
viewers were introduced to a heroine who would regularly top the TV
ratings. The Bio...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment