Harry Maguire akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 118 ikiwalaza wenyeji, Norwich 2-1 katika Robo Fainali ya Kombe la FA England usiku huu Uwanja wa Carrow Road. Odion Ighalo alianza kuifungia Man United dakika ya 51, kabla ya Todd Cantwell kuwasawazishia wenyeji dakika ya 75 na dakika ya 89 wakampoteza Timm Klose aliyetolewa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Odion Ighalo. Man United wanakwenda Nusu Fainali ya Kombe la FA PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool fans are left baffled by 'silly' talks to sell club legend Andy
Robertson to Tottenham, fearing leadership void as they take aim at squad
planning
-
Arne Slot's side have received an approach from Spurs about getting a deal
done this window, after Thomas Frank lost defender Ben Davies to a broken
ankle ...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment