Harry Maguire akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 118 ikiwalaza wenyeji, Norwich 2-1 katika Robo Fainali ya Kombe la FA England usiku huu Uwanja wa Carrow Road. Odion Ighalo alianza kuifungia Man United dakika ya 51, kabla ya Todd Cantwell kuwasawazishia wenyeji dakika ya 75 na dakika ya 89 wakampoteza Timm Klose aliyetolewa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Odion Ighalo. Man United wanakwenda Nusu Fainali ya Kombe la FA PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian Jason Kubler storms into Wimbledon second round after THRASHING local hope Dan Evans
-
Aussie and former world junior number one Jason Kubler has stormed into the
second round at Wimbledon after thrashing local hope Dan Evans in the
performan...
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni