Dani Ceballos akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 90 na ushei ikiwalaza Sheffield United 2-1 usiku wa jana Uwanja wa Bramall Lane katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la FA England. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Nicolas Pepe kwa penalti dakika ya 25, wakati la Sheffield United lilifungwa na David McGoldrick dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roy Keane has a 'DINOSAUR mentality', blasts West Ham striker Michail
Antonio - after Man United legend made thinly-veiled dig at him for
podcasting and 'having a laugh' after defeats
-
Michail Antonio has hit out at Roy Keane's 'dinosaur mentality' after the
Manchester United legend criticised players who host podcasts.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment