Dani Ceballos akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 90 na ushei ikiwalaza Sheffield United 2-1 usiku wa jana Uwanja wa Bramall Lane katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la FA England. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Nicolas Pepe kwa penalti dakika ya 25, wakati la Sheffield United lilifungwa na David McGoldrick dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Does Rome defeat mark beginning of end of Borthwick empire?
-
England's defeat by Italy has turned the spotlight on England's leadership,
both on and off the pitch
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment