Dani Ceballos akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 90 na ushei ikiwalaza Sheffield United 2-1 usiku wa jana Uwanja wa Bramall Lane katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la FA England. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Nicolas Pepe kwa penalti dakika ya 25, wakati la Sheffield United lilifungwa na David McGoldrick dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England Women: Fans slam price of new home and away shirts costing £114.95
-
Tournament hosts England have revealed their new Nike kits for this
summer's Women's Euros - but while the design has received positive
feedback, the prici...
Dakika 11 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni