Dani Ceballos akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 90 na ushei ikiwalaza Sheffield United 2-1 usiku wa jana Uwanja wa Bramall Lane katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la FA England. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Nicolas Pepe kwa penalti dakika ya 25, wakati la Sheffield United lilifungwa na David McGoldrick dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool vs Crystal Palace - Premier League LIVE: Arne Slot's side eye
fourth while Tottenham go in search of their first win of the year at
relegated Wolves as rivals West Ham host Everton
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for Saturday's 3pm Premier League games
featuring Liverpool vs Crystal Palace, Wolves vs Tottenham and West Ham vs
Ever...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment