Eden Hazard (kushoto) na Luka Modric (kulia) wakimpongeza Karim Benzema baada ya kufunga mabao mawili dakika za 61 na 86 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Valencia kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Alfredo Di Stefano, bao la pili likifungwa na Marco Asensio. Ushindi huo unaifanya Real Madrid ifikishe pointi 62 baada ya kucheza mechi 29 na sasa na inazidiwa pointi mbili tu na Barcelona wanaoongoza ligi hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Canadiens’ Gallagher Has No Regrets As Agent Searches For A New Home
-
There's never a dull moment for the Montreal Canadiens' GM, and this
summer, on top of trying to improve his team, he'll also have to try to
accommodate Br...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment