Eden Hazard (kushoto) na Luka Modric (kulia) wakimpongeza Karim Benzema baada ya kufunga mabao mawili dakika za 61 na 86 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Valencia kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Alfredo Di Stefano, bao la pili likifungwa na Marco Asensio. Ushindi huo unaifanya Real Madrid ifikishe pointi 62 baada ya kucheza mechi 29 na sasa na inazidiwa pointi mbili tu na Barcelona wanaoongoza ligi hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Snooker's biggest ever match? Why hundreds of millions are set to watch
world champion Zhao Xintong and national hero Ding Junhui lock horns at the
Crucible for quarter-final spot
-
The World Championship clash between Chinese superstars Zhao Xintong and
Ding Junhui could be the most watched snooker match ever.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment