Eden Hazard (kushoto) na Luka Modric (kulia) wakimpongeza Karim Benzema baada ya kufunga mabao mawili dakika za 61 na 86 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Valencia kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Alfredo Di Stefano, bao la pili likifungwa na Marco Asensio. Ushindi huo unaifanya Real Madrid ifikishe pointi 62 baada ya kucheza mechi 29 na sasa na inazidiwa pointi mbili tu na Barcelona wanaoongoza ligi hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Worried about your phone overheating? Here are some prevention tips
-
Hot phone? There are hacks for that.
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment