Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la ushindi dakika ya 70 kwa msaada wa VAR katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Real Sociedad kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Reale Arena, au Donostia-San Sebastian. Bao la kwanza la Real Madrid lilifungwa na Nahodha, Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 50 wakati la Real Sociedad lilifungwa na Mikel Merino dakakika ya 83. Kwa ushindi huo Real Madrid inafikisha pointi 65, sawa na mabingwa watetezi, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Snooker's biggest ever match? Why hundreds of millions are set to watch
world champion Zhao Xintong and national hero Ding Junhui lock horns at the
Crucible for quarter-final spot
-
The World Championship clash between Chinese superstars Zhao Xintong and
Ding Junhui could be the most watched snooker match ever.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment