Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la ushindi dakika ya 70 kwa msaada wa VAR katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Real Sociedad kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Reale Arena, au Donostia-San Sebastian. Bao la kwanza la Real Madrid lilifungwa na Nahodha, Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 50 wakati la Real Sociedad lilifungwa na Mikel Merino dakakika ya 83. Kwa ushindi huo Real Madrid inafikisha pointi 65, sawa na mabingwa watetezi, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ifako Ijaiye, Igando Ikotun Kicks Off 3rd FFF U-17 Unity Cup Tourney
-
The stage is now set for the commencement of the 3rd edition of the Fans
For Fun (FFF) Under 17 Unity Cup football Tourney among Local Governments
and Lo...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment