Mshambuliaji Eddie Nketiah akishangilia baada ya kuifungia Arsenal dakika ya 20 kabla ya Joe Willock kufunga la pili dakika ya 86 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Southampton usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. Mary's. Ushindi huo unaifanya Arsenal ifikishe pointi 43 baada ya kucheza mechi 31 na kupanda hadi nafasi ya tisa kutoka ya 11, wakati Southampton inabaki nafasi ya 14 na pointi zake 37 za mechi 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United 'attempting to HIJACK Lyon move for Tyrell Malacia - who shares agent with de Jong
-
Lyon had reportedly secured a verbal agreement for the Feyenoord star. But
United are hoping to gazump their move for Malacia, who shares an agent
with Fre...
Dakika 25 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni