Mshambuliaji Eddie Nketiah akishangilia baada ya kuifungia Arsenal dakika ya 20 kabla ya Joe Willock kufunga la pili dakika ya 86 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Southampton usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. Mary's. Ushindi huo unaifanya Arsenal ifikishe pointi 43 baada ya kucheza mechi 31 na kupanda hadi nafasi ya tisa kutoka ya 11, wakati Southampton inabaki nafasi ya 14 na pointi zake 37 za mechi 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Referees chief Howard Webb will hold peace talks with Nottingham Forest
this week after furious statement blasting decisions and Stuart Attwell...
with VAR audio set to be played at the meeting
-
MATT HUGHES: Webb will speak to one of, Evangelos Marinakis or Sokratis
Kominakis, while depending on the team's training schedule Nuno Espirito
Santo may ...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment