Kiungo Fernando Francisco Reges akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Sevilla bao la pili dakika ya 62 akimalizia kazi nzuri ya Lucas Ocampos aliyefunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 56 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ramon Sanchez-Pizjuan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
AFL in mourning as four-time premiership-winning footy legend dies in car crash 4km from his home
-
Neil Kerley - one of South Australian football's most influential figures -
died on Wednesday night after smashing through a fence at Walker Flat in
the Mu...
Dakika 35 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni