Kiungo Fernando Francisco Reges akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Sevilla bao la pili dakika ya 62 akimalizia kazi nzuri ya Lucas Ocampos aliyefunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 56 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ramon Sanchez-Pizjuan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Apple is bringing a more 'mainstream' AI to its customers: Analyst
-
Apple (AAPL) showcased its new AI-powered Siri (Siri AI) at its 2026
Worldwide Developers Conference (WWDC), a long-awaited entry into the AI
race from the...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment