• HABARI MPYA

    Monday, June 08, 2020

    KAGERE, DEO KANDA, GERSON FRAGA NA SANTOS WOTE WAFUNGA SMBA SC IKIITANDIKA TRANSIT CAMP 4-2 MECHI YA KIRAFIKI BUNJU

    Wachezaji wa Simba SC, kiungo Mbrazil Gerson Fraga 'Vieira' na mshambuliaji Mnyarwanda, Meddie Kagere wakishirikana kumtoka beki wa Transit Camp katika mchezo wa kirafiki leo asubuhi Uwanja wa Moe Simba Arena uliopo Bunju nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.  Simba SC imeshinda 4-2, mabao yake yakifungwa na Ddeo Kanda, Gerson Fraga, Tairone Santos na Kagere,wakati ya Transit Camp yamefungwa na Hamadi Habibu na  Nisile Kisimba

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KAGERE, DEO KANDA, GERSON FRAGA NA SANTOS WOTE WAFUNGA SMBA SC IKIITANDIKA TRANSIT CAMP 4-2 MECHI YA KIRAFIKI BUNJU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top