Ivan Rakitic akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 71 akimalizia pasi ya Lionel Messi katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp. Ushindi huo unairejesha Barcelona kileleni ikifikisha pointi 68 baada ya kucheza mechi 31 sasa ikiizidi Real Madrid pointi tatu, ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Osun election: Kalu congratulates Adeleke, says Tinubu’s future in Osun
bright despite APC’s loss
-
Former Governor of Abia State and Senator representing Abia North
Senatorial District, Senator Orji Uzor Kalu, has congratulated Osun State
Governor, Sen...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment