Ivan Rakitic akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 71 akimalizia pasi ya Lionel Messi katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp. Ushindi huo unairejesha Barcelona kileleni ikifikisha pointi 68 baada ya kucheza mechi 31 sasa ikiizidi Real Madrid pointi tatu, ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emotional David Moyes receives warm reception from Everton fans ahead of
kick-off against Aston Villa - as Scot makes his Goodison Park return
nearly 12 years after leaving
-
Moyes briefly wandered on to the pitch in the moments before the game to
wave to fans and looked emotional as he sealed his return to the club he
left in 2...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment