Ivan Rakitic akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 71 akimalizia pasi ya Lionel Messi katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp. Ushindi huo unairejesha Barcelona kileleni ikifikisha pointi 68 baada ya kucheza mechi 31 sasa ikiizidi Real Madrid pointi tatu, ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marouane Fellaini sheds new light on David Moyes' nightmare spell at Man
United - and labels it the 'worst season' he has ever experienced
-
Marouane Fellaini has admitted his first year at Manchester United was 'the
worst season of his career' as the club struggled under David Moyes.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment