Ivan Rakitic akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 71 akimalizia pasi ya Lionel Messi katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp. Ushindi huo unairejesha Barcelona kileleni ikifikisha pointi 68 baada ya kucheza mechi 31 sasa ikiizidi Real Madrid pointi tatu, ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ben James hires veteran caddie Tim Tucker for pro debut
-
Ben James has hired veteran caddie Tim Tucker, known for his work with
Bryson DeChambeau, for his pro debut this week at the RBC Canadian Open.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment