Mgeni rasmi, Mkuu wa Jeshi la Magereza mkoani Kagera, William Mtunguja akiwasabahi marefa, Salum Chama wa Kagera (wa pili kushoto), Nassor Hamdoun wa Kigoma (kulia) na James Kashaija wa Kagera (katikati yao) kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kati ya wenyeji, Kagera Stars na Ushirika ya Moshi mwaka 1993 Uwanja wa Kaitaba, Bukoba. Mwingine kushoto ni Nahodha wa Ushirika, Willy Martin.
Arsenal told Yildiz is untouchable as Juventus reject Premier League
champions’ approach
-
Juventus have flatly rejected an approach from Arsenal for Kenan Yildiz,
informing the Premier League champions in no uncertain terms that the
21-year-old ...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment