Mgeni rasmi, Mkuu wa Jeshi la Magereza mkoani Kagera, William Mtunguja akiwasabahi marefa, Salum Chama wa Kagera (wa pili kushoto), Nassor Hamdoun wa Kigoma (kulia) na James Kashaija wa Kagera (katikati yao) kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kati ya wenyeji, Kagera Stars na Ushirika ya Moshi mwaka 1993 Uwanja wa Kaitaba, Bukoba. Mwingine kushoto ni Nahodha wa Ushirika, Willy Martin.
Does Rome defeat mark beginning of end of Borthwick empire?
-
England's defeat by Italy has turned the spotlight on England's leadership,
both on and off the pitch
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment