Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akimtoka beki wa Sevilla, Diego Carlos katika mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Kwa matokeo hayo, Barca inafikisha pointi 65 baada ya kucheza mechi 30, ikiizidi pointi tatu Real Madrid ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian Jason Kubler storms into Wimbledon second round after THRASHING local hope Dan Evans
-
Aussie and former world junior number one Jason Kubler has stormed into the
second round at Wimbledon after thrashing local hope Dan Evans in the
performan...
Dakika 26 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni