Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akimtoka beki wa Sevilla, Diego Carlos katika mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Kwa matokeo hayo, Barca inafikisha pointi 65 baada ya kucheza mechi 30, ikiizidi pointi tatu Real Madrid ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle plot summer move for Tottenham star as Eddie Howe looks to
reunite with £65m man should North London club suffer relegation to the
Championship
-
SIMON JONES: Much will depend on Tottenham's Premier League status, but the
player is well known to Eddie Howe.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment