Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akimtoka beki wa Sevilla, Diego Carlos katika mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Kwa matokeo hayo, Barca inafikisha pointi 65 baada ya kucheza mechi 30, ikiizidi pointi tatu Real Madrid ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Jim Harbaugh Sings Michigan's Fight Song as Wolverines Players
Drafted to NFL
-
Jim Harbaugh may be the Los Angeles Chargers' head coach, but he'll always
be a Michigan Man at heart. The former Wolverines starting quarterback (and
most…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment