SIMBA SC WAWASILI MBEYA AJILI YA MECHI MBILI MFULULIZO DHIDI YA MBEYA CITY NA TANZANIA PRISONS
Nahodha wa Simba John Raphael Bocco baada ya kikosi cha timu hiyo kuwasili Jijini Mbeya kwa ndege mapema leo tayari kwa mechi zake mbili mfululizo za Ligi Kuu dhidi ya wenyeji, Mbeya City Jumatano na Tanzania Prisons Jumapili Uwanja wa Sokoine.
Kiungo Jonas Mkude ameongozana na timu kwa ajili ya mechi hizo mbili mfululizo za Ligi Kuu
Kikosi cha Simba kikiwa Uwanja wa Ndege wa Mbeya baada ya kuwasili kwa ajili ya mechi dhidi ya wenyeji
Item Reviewed: SIMBA SC WAWASILI MBEYA AJILI YA MECHI MBILI MFULULIZO DHIDI YA MBEYA CITY NA TANZANIA PRISONS
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Klopp: Minamino critics at Liverpool are wrong
-
Jurgen Klopp has defended Takumi Minamino's Liverpool career by hailing the
Japanese forward's "winner's mentality". Minamino joined Monaco this week
after...
1300 Fans beim Auftakt unter Edin Terzic
-
Nach der Leistungsdiagnostik am Montag und Dienstag durften die BVB-Profis
endlich wieder das machen, was sie am liebsten tun: auf dem Rasen gegen den
Ball...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni