Cristiano Ronaldo wa Juventus akionyesha jezi aliyozawadiwa kabla ya mchezo wa Serie A na Cagliari jana Uwanja wa Allianz mjini Torino jana kwa kufikisha mechi 400 za klabu kwenye tano kubwa Ulaya. Juventus ilishinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Paulo Dybala dakika ya kwanza, Filip Bradaric aliyejifunga dakika ya 38 na Juan Cuadrado dakika ya 87, wakati la Cagliari lilifungwa na Joao Pedro dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Patrick Mahomes gives peek of charity gala as Travis Kelce, Taylor Swift
and Co hit red carpet for swanky Las Vegas auction - where the Chiefs duo
combine for a hilarious touchdown pass - before QB and friends enjoy round
of golf
-
Patrick Mahomes has given fans an inside look at his Las Vegas charity gala
after a host of star names came together to raise money for his foundation
this...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment