Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Neymar akijaribu kupasua katikati ya wachezaji wa Napoli, Marek Hamisk na Jose Callejon katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa San Paolo mjii Napoli. Timu hizo zilifungana 1-1, PSG wakitangulia kwa bao la Juan Bernat dakika ya 45 na ushei, kabla ya Lorenzo Insigne kuisawazishia Napoli kwa penalti dakika ya 62, kufuatia Jose Callejon kuchezewa rafu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arne Slot warns Liverpool stars they face summer FIRE SALE and will flog
'good players' after £450m spend fell flat with no trophies
-
Liverpool are preparing to sell 'good players' this summer after the season
following their £450million transfer spend ended without silverware, Arne
Slot ...
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment