Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Neymar akijaribu kupasua katikati ya wachezaji wa Napoli, Marek Hamisk na Jose Callejon katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa San Paolo mjii Napoli. Timu hizo zilifungana 1-1, PSG wakitangulia kwa bao la Juan Bernat dakika ya 45 na ushei, kabla ya Lorenzo Insigne kuisawazishia Napoli kwa penalti dakika ya 62, kufuatia Jose Callejon kuchezewa rafu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
French authorities responding to incident involving civilian aircraft
-
PARIS, June 28 () - Authorities were responding to an incident involving
a civilian aircraft in the town of Tomblaine in northeastern France on
Sunda...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment