Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Neymar akijaribu kupasua katikati ya wachezaji wa Napoli, Marek Hamisk na Jose Callejon katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa San Paolo mjii Napoli. Timu hizo zilifungana 1-1, PSG wakitangulia kwa bao la Juan Bernat dakika ya 45 na ushei, kabla ya Lorenzo Insigne kuisawazishia Napoli kwa penalti dakika ya 62, kufuatia Jose Callejon kuchezewa rafu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mo Salah's outburst at Jurgen Klopp will set alarm bells ringing with
Liverpool's owners and incoming boss Arne Slot... the Reds star must
apologise to avoid the conclusion the end is near amid Saudi interest
-
No stars did stop for a chat about incoming boss Arne Slot, clearly under
instruction, but less than 10 words from Salah made bigger waves worldwide
than a...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment