Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Neymar akijaribu kupasua katikati ya wachezaji wa Napoli, Marek Hamisk na Jose Callejon katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa San Paolo mjii Napoli. Timu hizo zilifungana 1-1, PSG wakitangulia kwa bao la Juan Bernat dakika ya 45 na ushei, kabla ya Lorenzo Insigne kuisawazishia Napoli kwa penalti dakika ya 62, kufuatia Jose Callejon kuchezewa rafu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Harry Kane lands Ballon d'Or nomination after record-breaking 73-goal
season - but England captain faces fierce competition from two Three Lions
team-mates
-
England captain Harry Kane has been nominated for the Ballon d'Or after
scoring 73 goals for club and country last season.
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment