Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 10 na 37 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Viktoria Plzen kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya na kufikisha mabao 200 ya kuifungia klabu hiyo. Mabao mengine ya Real Madrid yamefungwa na Casemiro dakika ya 23, Gareth Bale dakika ya 40 na Toni Kroos dakika ya 67 Uwanja wa Doosan Arena mjini Plzen PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Imo: New faces emerge in APC reps primaries
-
A wave of new candidates unseated sitting lawmakers as the All Progressives
Congress (APC) concluded its House of Representatives primaries across Imo
St...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment