Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 10 na 37 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Viktoria Plzen kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya na kufikisha mabao 200 ya kuifungia klabu hiyo. Mabao mengine ya Real Madrid yamefungwa na Casemiro dakika ya 23, Gareth Bale dakika ya 40 na Toni Kroos dakika ya 67 Uwanja wa Doosan Arena mjini Plzen PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Twins' Rocco Baldelli Explains Team's 'Home Run Sausage' Superstition
-
Using props to celebrate home runs is somewhat common in the majors, but
the Minnesota Twins might have one of the strangest home run celebration
props of ...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment