Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 10 na 37 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Viktoria Plzen kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya na kufikisha mabao 200 ya kuifungia klabu hiyo. Mabao mengine ya Real Madrid yamefungwa na Casemiro dakika ya 23, Gareth Bale dakika ya 40 na Toni Kroos dakika ya 67 Uwanja wa Doosan Arena mjini Plzen PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristian Romero, Micky van de Ven and Xavi Simons gone, the rivals ready to
poach their young stars, a £250m black hole and why promotion will be an
uphill battle: This is what will happen if Tottenham get relegated
-
None of Spurs' players want to play second-tier football. They will think
they are elite players with international careers, image rights and sponsor
deals...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment