Winga wa Yanga, Yussuf Mhilu akimuacha chini kiungo wa Singida United, Mudathir Yahya katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja Taifa mjini Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Kiungo wa Yanga, Pius Buswita akiwatoka wachezaji wa Singida United, Mudathir Yahya (kulia) na Nizar Khalfan (kushoto)
Mshambuliaji Mzambia wa Yanga, Obrey Chirwa (kulia) akimtoka beki wa Singida, Miraj Adam
Kiungo wa Singida, Deus Kaseke akiondoka na mpira dhidi ya kiungo Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi
Kiungo wa Singida United, Nizar Khalfan akimtoka beki wa Yanga, Kevin Yondan
Winga wa Yanga, Geoffrey Mwashiuya (kushoto) akijaribu kuuzuia mpira uliopigwa na Miraj Adam wa Singida
Beki wa Yanga, Hassan Ramadhani Kessy akipasua katikati ya Shafiq Batambuze (kushoto) na Mudathir Yahya (kulia) wa Singida United
Kiungo wa Yanga, Raphael Daudi akimtoka Kennedy Wilson wa Singida United
Kikosi cha Yanga kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Kikosi cha Singida kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Logan Paul stages a gender reveal WRESTLING MATCH as the WWE star and
fiancee Nina Agdal announce they are expecting a girl in unique fashion
with blue vs pink contest
-
WWE superstar and famous internet figure Logan Paul staged a wrestling
match for his gender reveal with girlfriend Nina Agdal. The wrestler in
pink won, me...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment