Shabiki wa Simba SC akila chipsi jukwaani wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simbe imeshinda 3-1
Shabiki huyu alikuwa anamaanisha mchezo wa leo wa Simba ambao ni wa kiporo
Mashabiki wengine wa Simba wakifuatilia mchezo wa leo kwa umakini
Kama ilivyokuwa kwa hawa wengine wakipata burudani leo Uwanja wa Taifa
Hawa ni mashabiki wa Yanga waliojitokeza kuwapa sapoti watani wao, Simba
'There were TEARS in the dressing room': Ashley Young reveals how Sir Alex
Ferguson broke the news of his retirement to Man United's players in 2013
-
Young recalled the emotional day in May 2013 when Ferguson called a meeting
in the United dressing room to inform the players of the news.
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment