Shabiki wa Simba SC akila chipsi jukwaani wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simbe imeshinda 3-1
Shabiki huyu alikuwa anamaanisha mchezo wa leo wa Simba ambao ni wa kiporo
Mashabiki wengine wa Simba wakifuatilia mchezo wa leo kwa umakini
Kama ilivyokuwa kwa hawa wengine wakipata burudani leo Uwanja wa Taifa
Hawa ni mashabiki wa Yanga waliojitokeza kuwapa sapoti watani wao, Simba
China hit by rare April floods forcing hundreds of residents to evacuate
-
More than 200 residents forced to flee southern Chinese city after heavy
flooding
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment