Shabiki wa Simba SC akila chipsi jukwaani wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simbe imeshinda 3-1
Shabiki huyu alikuwa anamaanisha mchezo wa leo wa Simba ambao ni wa kiporo
Mashabiki wengine wa Simba wakifuatilia mchezo wa leo kwa umakini
Kama ilivyokuwa kwa hawa wengine wakipata burudani leo Uwanja wa Taifa
Hawa ni mashabiki wa Yanga waliojitokeza kuwapa sapoti watani wao, Simba
World Cup: Austria and Algeria join Round of 32 after injury-time drama
-
Austria are through to the Round of 32 after ex-Stuttgart striker Sasa
Kalajdzic's 96th-minute goal cancelled out Riyad Mahrez's strike three
minutes earli...
12 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment