• HABARI MPYA

    Wednesday, April 11, 2018

    AMBAVYO MASHABIKI WA YANGA WALIVYONYONG'ONYEA LEO TAIFA

    Mashabiki wa Yanga wakiwa wanyonge wakati mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya timu yao na Singida United ukielekea ukingoni huku wakiwa wamefungana bao 1-1, matokeo yaliyodumu hadi filimbi ya mwisho   
     Mashabiki wa Yanga walikuwa wanyonge kulazimishwa sare na Singida nyumbani
     Wakiwa hawaamini macho yao na dakika zinazidi kuyoyoma
    Shabiki wa Simba, Nima ambaye ni mchumba wa zamani wa kipa wa Singida United, Peter Manyika akifurahia watani kupunguzwa kasi 
    Nima alikuwa 'anatoka' na Manyika wakati anadakia Simba, ila kwa sasa wameachana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AMBAVYO MASHABIKI WA YANGA WALIVYONYONG'ONYEA LEO TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top