Mashabiki wa Yanga wakiwa wanyonge wakati mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya timu yao na Singida United ukielekea ukingoni huku wakiwa wamefungana bao 1-1, matokeo yaliyodumu hadi filimbi ya mwisho
Mashabiki wa Yanga walikuwa wanyonge kulazimishwa sare na Singida nyumbani
Wakiwa hawaamini macho yao na dakika zinazidi kuyoyoma
Shabiki wa Simba, Nima ambaye ni mchumba wa zamani wa kipa wa Singida United, Peter Manyika akifurahia watani kupunguzwa kasi
Nima alikuwa 'anatoka' na Manyika wakati anadakia Simba, ila kwa sasa wameachana
Governor Lawal restrategises against banditry, vows more support for
security agencies
-
Governor Dauda Lawal had vowed to commit more resources to support security
agencies in a new bid to stamp out terrorist activities across Zamfara
State....
12 seconds ago


.png)
0 comments:
Post a Comment