Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pius Buswita akimruka kwa ustadi mkubwa beki wa Stand United, Ally Ally katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 3-1.
Ally Ally wa Stand United akiwa juu kuwania mpira na kiungo wa Yanga, Yussuph Mhilu
Kiungo wa Yanga, Ibrahim Ajib akiwatoka wachezaji wa Stand United
Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa akipiga shuti huku beki wa Stand, Erick Mulilo akikwepa
Yussuph Mhilu wa Yanga akimdhibiti mchezaji wa Stand ili auwahi mpira
Kiungo chipukizi wa Yanga, Maka Edward akimuacha chini mshambuliaji wa Stand United, Bigirimana Blaise
Mshambuliaji wa Stand united Tariq Seif akipambana katikati ya walinzi wa Yanga, wakiongozwa na nahodha, Kevin Yondan (kulia)
Winga wa Yanga, Emmanuel Martin (kulia) akijaribu kumpita Jisend Mathias wa Stand United aliyelala chini
Kikosi cha Yanga kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Kikosi cha Stand United kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Wolves chairman QUITS: Angry fans get their wish as Jeff Shi steps down
after weeks of protests, with Rob Edwards' side heading for the Championship
-
TOM COLLOMOSSE: Jeff Shi has stepped down as executive chairman of Wolves
after a chaotic period on and off the pitch.
57 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment