David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao yote dakika za 10 na 50 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Bet365. Man City inafikisha pointi 81 baada ya kuceza mechi 30, ikifuatiwa kwa mbali kabisa na Manchester United yenye pointi 65 za mechi 30, maana yake timu ya kocha Pep Guardiola inahitahji kushinda mechi mbili zaidi kujihakikishia ubingwa wa England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Francis Ngannou mourns the death of 15-month-old son, Kobe, at his funeral
- as ex-UFC champion Kamaru Usman and Cameroon football legend Samuel Eto'o
pay their respects in attendance
-
Francis Ngannou laid his son to rest at an emotional funeral on Friday,
after the devastating death of the 15-month-old.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment