David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao yote dakika za 10 na 50 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Bet365. Man City inafikisha pointi 81 baada ya kuceza mechi 30, ikifuatiwa kwa mbali kabisa na Manchester United yenye pointi 65 za mechi 30, maana yake timu ya kocha Pep Guardiola inahitahji kushinda mechi mbili zaidi kujihakikishia ubingwa wa England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua vs Jake Paul LIVE: Scorecard and round-by-round updates as
the former two-time heavyweight world champion controversially enters the
ring with YouTuber turned boxer
-
Follow all the action as Jake Paul and Anthony Joshua go head-to-head at
Miami's Kaseya Center in a blockbuster showdown being watched by more than
50 mill...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment