David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao yote dakika za 10 na 50 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Bet365. Man City inafikisha pointi 81 baada ya kuceza mechi 30, ikifuatiwa kwa mbali kabisa na Manchester United yenye pointi 65 za mechi 30, maana yake timu ya kocha Pep Guardiola inahitahji kushinda mechi mbili zaidi kujihakikishia ubingwa wa England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CAN urges support for vulnerable persons in society, dedicates award to
service to humanity
-
From Scholastica Hir, Makurdi The Deputy Chairman of the Christian
Association of Nigeria (CAN), Benue State Chapter, Rev. Jonathan Ugbede,
has called on...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment