Mshambuliaji majeruhi wa Paris Saint Germain, Neymar ameposti picha hii kufuatia kifo cha mwanasayansi Stephen Hawking aliyefariki dunia jana akiwa ana umri wa miaka 76 baada ya kutembelea kiti cha walemavu tangu akiwa ana umri wa miaka 22 kama salamu zake za rambirambi, lakini Mbrazil huyo amelaumiwa vikali kwa kujinafanisha na Muingereza huyo aliyepitia kipindi kigumu cha maisha yake, wakati yeye ni majeruhi wa muda mfupi tu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Twins' Rocco Baldelli Explains Team's 'Home Run Sausage' Superstition
-
Using props to celebrate home runs is somewhat common in the majors, but
the Minnesota Twins might have one of the strangest home run celebration
props of ...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment