Mshambuliaji majeruhi Mbrazil, Neymar akifanya mazoezi gym chini ya usimamizi wa Daktari wake binafsi. Neymar yuko nje kwa miezi mitatu kufuatia kufanyiwa upasuaji wa kifundo cha mguu baada ya kuumia kwenye mechi dhidi ya Marseille mwezi uliopita na sasa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 anapambana ili acheze Fainali za Kombe la Dunia nchini Urusi, Brazil ikifungua dimba na Uswisi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What went wrong for Wales in the Women's Six Nations?
-
BBC Sport reflects on what has been a disappointing Women's Six Nations
campaign for Wales.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment