Mshambuliaji wa kimataifa wa England, Harry Kane akitembelea fimbo maalum za walemavu baada ya kuumia kifundo cha mguu wa kulia, maumivu ambayo yatamuweka nje kwa wiki sita. Kane aliumia Jumapili ya wiki iliyopita baada ya kugongana na kipa Asmir Begovic katika mchezo wa Ligi Kuu ya England, Spurs wakishinda 4-1 dhidi ya Bournemouth
England number eight Vunipola arrested in Majorca
-
England number eight Billy Vunipola is arrested in Spain following an
alleged incident in a bar in the early hours of Sunday morning.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment