Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger anayetumikia adhabu ya kufungiwa na Chama cha Soka (FA), akishuhudia kutoka jukwaani timu yake ikichapwa mabao 2-1 na wenyeji AFC Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vitality. Mabao ya Bournemouth yamefungwa na Callum Wilson dakika ya 70 na Jordon Ibe dakika ya 74, wakati la Arsenal limefungwa na Hector Bellerin dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks cling on to eliminate 76ers 118-115 in nail-biting Game 6 victory,
advancing to face the Pacers in bitter conference semifinal rivalry matchup
-
The New York Knicks outlasted the Philadelphia 76ers on Thursday night to
advance to the Eastern Conference semifinals with a 118-115 victory in the
decidi...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment