Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger anayetumikia adhabu ya kufungiwa na Chama cha Soka (FA), akishuhudia kutoka jukwaani timu yake ikichapwa mabao 2-1 na wenyeji AFC Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vitality. Mabao ya Bournemouth yamefungwa na Callum Wilson dakika ya 70 na Jordon Ibe dakika ya 74, wakati la Arsenal limefungwa na Hector Bellerin dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup Breakfast 24: Lionel Messi's Argentina forced to EXTRA TIME
against Cape Verde, why Egypt stars watched Kylian Mbappe highlights during
their penalties, highlights - and what to look out for today
-
Hello and welcome to Daily Mail Sport's World Cup Breakfast from day 24 at
the tournament - your one-stop shop for everything you've missed overnight
in No...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment