Mshambuliaji Mbelgiji, Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la mwisho dakika ya 72 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford usiku wa Jumatatu. Mabao mengine ya timu ya kocha Mreno, Jose Mourinho yamefungwa na Antonio Valencia dakika ya tisa na Anthony Martial dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Celtics cruise past Heat to reach play-off semis
-
The Boston Celtics maintain their good form to cruise past the Miami Heat
into the Eastern Conference play-off semi-finals.
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment