Kocha mpya mtarajiwa wa Simba SC, Mfaransa Pierre Lechantre (kulia) akiwa na msaidizi wake, kocha wa viungo, Mmorocco Mohammed Aymen Hbibi (katikati) wakati wa mchezo wa timu hiyo dhidi ya Singida United jioni ya leo Uwanja wa Taifa.
Simba imemkaribisha Mfaransa huyo kwa ushindi wa 4-0 kwenye mechi hiyo ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Ghanaian defender Terry Yegbe sees red in Elfsborg's victory over Sirius in
Sweden
-
Black Meteors defender, Terry Yegbe was sent off during the Swedish
Allsevenskan game between IF Elfsborg and Sirius on Monday. The Elfsborg
centre-back w...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment