Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 47 na 59 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Everton usiku wa jana Uwanja wa Wembley London na kuweka rekodi ya mfungaji wa mabao mengi wa muda wote kwenye Ligi Kuu ya England kwa kufikisha mabao 98. Mabao mengine ya Spurs jana yalifungwa na Son Heung-Min dakika ya 26 na Christian Eriksen dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Organisers ease concern of clash between warm-ups and Rita Ora set
-
England and Australia will be allowed to warm up on the Lord's outfield
before Sunday's T20 World Cup final, having initially being told they could
not unt...
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment