Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 47 na 59 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Everton usiku wa jana Uwanja wa Wembley London na kuweka rekodi ya mfungaji wa mabao mengi wa muda wote kwenye Ligi Kuu ya England kwa kufikisha mabao 98. Mabao mengine ya Spurs jana yalifungwa na Son Heung-Min dakika ya 26 na Christian Eriksen dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Rory McIlroy, Shane Lowry Sing 'Don't Stop Believin'' After Zurich
Classic Win
-
Rory McIlroy probably isn't leaving the PGA Tour for an appearance on
American Idol anytime soon. McIlroy and Shane Lowry celebrated their Zurich
Classic…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment