Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 47 na 59 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Everton usiku wa jana Uwanja wa Wembley London na kuweka rekodi ya mfungaji wa mabao mengi wa muda wote kwenye Ligi Kuu ya England kwa kufikisha mabao 98. Mabao mengine ya Spurs jana yalifungwa na Son Heung-Min dakika ya 26 na Christian Eriksen dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Embarrassment for USA as woeful loss to Italy risks World Baseball Classic
elimination... despite coach thinking they were already through
-
With a roster stacked with stars such as Aaron Judge, Paul Skenes, Bryce
Harper and Cal Raleigh, the Americans were beaten 8-6 by their rivals in
Pool B an...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment