Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohammed Shein (katikati) akimkabidhi Kombe la Mapinduzi Nahodha wa Azam FC, Himid Mao baada ya ushindi wa penalti 4-3 dhidi ya URA ya Uganda jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar
Mshambuliaji Mghana wa Azam FC, Bernard Arthur akipiga mpira pembeni ya beki wa URA jana
Rais Dk. Ali Mohammed Shein akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Azam FC kabla ya mechi
Rais Dk. Ali Mohammed Shein akimvalisha Medali kipa wa akiba wa Azam FC, Mwadini Ali
Mfungaji Bora wa mashindano Paul Peter wa Azam FC akifurahia na tuzo yake
Viongozi na wapenzi wa Azam FC wakifurahia na Kombe la Mapinduzi baada ya mechi





0 comments:
Post a Comment