Kipa Mcameroon wa Yanga, Youthe Rostand akiokoa kwa ustadi wa hali ya juu wakati wa mazoezi ya leo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City Jumapili
Beki Hassan Kessy akivuta kasi kuuwahi mpira
Daktari wa timu, Edward Bavu (katikati) akizungumza na wachezaji
Kocha Msaidizi wa kwanza, Mzambia Noel Mwandila akizungumza na wachezaji
Wachezaji wakikimbia Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam leo
Vote for United Women's April Player of the Month
-
Three nominations, but only one can win - who gets your pick?
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment