Kipa Mcameroon wa Yanga, Youthe Rostand akiokoa kwa ustadi wa hali ya juu wakati wa mazoezi ya leo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City Jumapili
Beki Hassan Kessy akivuta kasi kuuwahi mpira
Daktari wa timu, Edward Bavu (katikati) akizungumza na wachezaji
Kocha Msaidizi wa kwanza, Mzambia Noel Mwandila akizungumza na wachezaji
Wachezaji wakikimbia Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam leo
Chile's Boric admits 'errors' in final address as president
-
STORY: :: Santiago, Chile / March 10, 2026
:: Chilean outgoing president Gabriel Boric admits to 'errors' during his
term in his final national address
...
33 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment