Mshambuliaji wa Argentina, Carlos Tevez akiwa amezungukwa na umati wa watu baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Shanghai Pudong, China jana tayari kujiunga na klabu yake mpya, Shanghai Shenhua ambako atakuwa akilipwa zaidi ya wachezaji wote duniani, Pauni 615,000 kwa wiki. Mchezaji huyo wa zamani wa West Ham, Manchester United na Manchester City kwa sasa anawazidi hadi Muargentina mwenzake, Lionel Messi na Mreno Cristiano Ronaldo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kentucky Derby Results 2024: Final Race Chart, Finishing Times and Purse
-
The 150th Kentucky Derby required a photo finish to decide the winner
between three horses, with Mystik Dan (at 16-1 odds) finally getting
announced as the…
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment