Mshambuliaji wa Argentina, Carlos Tevez akiwa amezungukwa na umati wa watu baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Shanghai Pudong, China jana tayari kujiunga na klabu yake mpya, Shanghai Shenhua ambako atakuwa akilipwa zaidi ya wachezaji wote duniani, Pauni 615,000 kwa wiki. Mchezaji huyo wa zamani wa West Ham, Manchester United na Manchester City kwa sasa anawazidi hadi Muargentina mwenzake, Lionel Messi na Mreno Cristiano Ronaldo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roebuck in for Furbank as England face back-three juggle
-
Sale wing Tom Roebuck has been drafted into the England try to balance
back-three options amid a raft of injuries.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment