Mshambuliaji wa Argentina, Carlos Tevez akiwa amezungukwa na umati wa watu baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Shanghai Pudong, China jana tayari kujiunga na klabu yake mpya, Shanghai Shenhua ambako atakuwa akilipwa zaidi ya wachezaji wote duniani, Pauni 615,000 kwa wiki. Mchezaji huyo wa zamani wa West Ham, Manchester United na Manchester City kwa sasa anawazidi hadi Muargentina mwenzake, Lionel Messi na Mreno Cristiano Ronaldo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star makes heartbreaking confession about her baby son after doing
the unthinkable when she found out she was pregnant: 'I'm not sure I want
him'
-
Brisbane Broncos star Shannon Mato has turned her life around after
learning she was expecting in early 2025.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment