Mshambuliaji wa Liverpool, Daniel Sturridge akiifungia bao la kwanza timu yake kwa kichwa dakika ya 19 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Sunderland Uwanja wa Light usiku wa jana. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na Sadio Mane dakika ya 72, wakati ya Sunderland yote yalifungwa na Jermain Defoe kwa penalti dakika ya 25 na 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund is spotted looking bemused at Erik ten Hag's decision to
substitute Kobbie Mainoo in Man United's draw with Burnley - which sparked
furious reaction from fans
-
Rasmus Hojlund (inset) cut a bemused figure as Manchester United manager
Erik ten Hag decided to bring midfielder Kobbie Mainoo (left) off during
Saturday'...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment