Mshambuliaji wa Liverpool, Daniel Sturridge akiifungia bao la kwanza timu yake kwa kichwa dakika ya 19 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Sunderland Uwanja wa Light usiku wa jana. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na Sadio Mane dakika ya 72, wakati ya Sunderland yote yalifungwa na Jermain Defoe kwa penalti dakika ya 25 na 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Abia bans commercial motorcycle operations in three cities
-
Abia State bans commercial motorcycle operations in Umuahia, Aba and Ohafia
from June 22 to boost security and improve transport safety.
The post Abia ba...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment