Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akipasua katikati ya mabeki wa Athletic Bilbao katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa San Mames. Bilbao ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Aritz Aduriz dakika ya 25 na Inaki Williams dakika ya 28 huku la Barca likifungwa na Messi dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup 2026: Cristiano Ronaldo becomes first man to score a goal in six
World Cups
-
Cristiano Ronaldo is still setting records at 41.
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment