Mshambuliaji wa Azam FC, Yahya Mohammed akiwatokaa wachezaji wa Zimamoto katika mchezo wa Kundi A Kombe la Mapinduzi jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Azam ilishinda 1-0
Mshambuliaji wa Azam FC, Saamuel Afful (kushoto) akimtoka beki wa Zimamoto
Winga wa Azam FC, Enock Atta Agyei akiambaa na mpira pembezoni mwa Uwanja wa Amaan
Beki wa Azam FC, Erasto Nyoni (kulia) akipiga krosi kwa guu la kulia kwenye wingi ya kushoto
Beki wa Azam FC, Shomary Kapombe akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Zimamoto
Kikosi cha Azam kilichoanza kwenye mechi ya jana
Wiedersehen mit Paris Saint-Germain
-
Zum dritten Mal in dieser Champions-League-Saison trifft Borussia Dortmund
am Mittwochabend (21 Uhr) auf Paris Saint-Germain. „Wir kennen Paris, und
wir si...
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment