Kiungo wa Tottenham Hotspur, Dele Alli akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 70 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Manchester United kwenye nchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa White Hart Lane. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Toby Alderweireld dakika ya 74 na Erik Lamela dakika ya 76. Spurs inafikisha pointi 65 baada ya kucheza mechi 33 na kuendelea kukaa nafasi ya pili, nyuma ya Leicester City yenye pointi 72 za mechi 33 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Chelsea doctor Eva Carneiro aims thinly-veiled dig at Jose Mourinho
on social media after his refusal to apologise over infamous touchline row
in Netflix documentary
-
On the same day that Mourinho's quotes hit the headlines, Carneiro took to
social media to make a light-hearted joke toward her former boss when
announcing...
9 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment