Kiungo wa Tottenham Hotspur, Dele Alli akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 70 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Manchester United kwenye nchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa White Hart Lane. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Toby Alderweireld dakika ya 74 na Erik Lamela dakika ya 76. Spurs inafikisha pointi 65 baada ya kucheza mechi 33 na kuendelea kukaa nafasi ya pili, nyuma ya Leicester City yenye pointi 72 za mechi 33 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Met Gala 2024: WNBA star Angel Reese and golf icon Nelly Korda stun on the
red carpet at star-studded bash
-
The Chicago Sky star was dressed in 16Arlington by Marco Capaldo. 'The
"Chi-Town" Barbie is at the Met Gala,' the WNBA's official X account
posted. 'Happy ...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment