Mshambuliaji Divock Origi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield. Origi alifunga mabao mawili, wakati mengine yamefungwa na Alberto Moreno na Daniel Sturridge na la Stoke limefungwa na Bojan Krkic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two huge shocks see cricket great and in-form star snubbed from Australia's
T20 World Cup team
-
Mitch Marsh has been appointed as Australia's captain ahead of the T20
World Cup next month. But two players - including one Aussie cricket great
- have be...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment