Mshambuliaji Divock Origi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield. Origi alifunga mabao mawili, wakati mengine yamefungwa na Alberto Moreno na Daniel Sturridge na la Stoke limefungwa na Bojan Krkic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Teenager Suryavanshi smashes 15-ball fifty in IPL
-
Vaibhav Suryavanshi, 15, continues his astonishing run of form in the IPL
as Rajasthan Royals beat Royal Challengers Bengaluru by six wickets.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment