Mshambuliaji Divock Origi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield. Origi alifunga mabao mawili, wakati mengine yamefungwa na Alberto Moreno na Daniel Sturridge na la Stoke limefungwa na Bojan Krkic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigeria, China to hold political consultation meeting
-
Nigeria and China will hold a political consultation meeting in July 2026
as both nations deepen strategic cooperation and bilateral ties.
The post Niger...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment