Mshambuliaji tegemeo wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akimiliki mpira mazoezini na wenzake Karim Benzema, Pepe (kushoto) na Varane anayemuangali jana Uwanja wa Bernabeu kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Wolfsburg leo kwenye Uwanja huo. Reak inahitaji kushinda 3-0 baada ya kufungwa 2-0 wiki iliyopita Ujerumani ili kwenda Nusu Fainali. Mechi nyingine ya leo ni kati ya Manchester City na Paris Saint-Germain Uwanja wa Etihad, England ambazo mchezo wa kwanza Ufaransa zilitoka sare ya 2-2 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Morgan Rogers' Europa League masterclass will have Thomas Tuchel
licking his lips ahead of the World Cup, writes NATHAN SALT
-
NATHAN SALT: With a World Cup on the horizon, Morgan Rogers showed traits
Tuchel will rely on in spades if the Three Lions are to see silverware of
their o...
9 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment