• HABARI MPYA

    Monday, November 03, 2014

    ARSENAL WALIVYOPASHA LEO KUJIANDAA NA LIGI YA MABINGWA KESHO


    Mchezaji wa Arsenal, Alex Oxlade-Chamberlain akijifua katika mazoezi ya timu yake leo, viwanja vya Colney, London kujiandaa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa kesho dhidi ya Anderlecht
    Arsenal's Danny Welbeck (right) and Calum Chambers during the training session at London Colney
    Danny Welbeck (kulia) na Calum Chambers wakijifua viwanja vya Colney, London

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2818719/Jack-Wilshere-misses-Arsenal-training-doubt-clash-against-Anderlecht.html#ixzz3I2AfKjql 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL WALIVYOPASHA LEO KUJIANDAA NA LIGI YA MABINGWA KESHO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top