Romelu Lukaku (kulia) na Kevin Mirallas ambao wote waliifungia Everton katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Wolfsburg Uwanja wa Volkswagen Arena katika mchezo wa Europa League, wakishangilia kuiwezesha Toffees kusonga mbele 32 Bora kwa ushindi huo
Kiungo wa zamani wa Chelsea, Kevin De Bruyne (kushoto) akipambana na mchezaji wa Everton, Mirallas kugombea mpira
PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2852262/Wolfsburg-0-2-Everton-Romelu-Lukaku-Kevin-Mirallas-strike-Toffees-seal-place-Europa-League-knock-stages.html#ixzz3KKmWgC4r
0 comments:
Post a Comment