Mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Brazil, Ronaldo Lima akiwa nyota wa PSG, Zlatan Ibrahimovic baada ya mechi dhidi ya Nice usiku wa jana mjini Paris, Ufaransa, Ibra alifunga bao pekee kwa penalti PSG ikishinda 1-0 na baada ya hapo akakutana na Mwanasoka huyo bora wa zamani wa dunia. Akiwa Inter Milan, Zlatan alicheza dhidi ya Ronaldo aliyekuwa AC Milan mwaka 2007 katika Serie A.
Taiwan fires rockets in China's direction from a U.S.-supplied mobile
launching system in drill
-
Taiwan's military fired rockets in China's direction from “shoot-and-scoot”
mobile launchers on Wednesday in a demonstration of how it might try to
repel a...
5 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment