Mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Brazil, Ronaldo Lima akiwa nyota wa PSG, Zlatan Ibrahimovic baada ya mechi dhidi ya Nice usiku wa jana mjini Paris, Ufaransa, Ibra alifunga bao pekee kwa penalti PSG ikishinda 1-0 na baada ya hapo akakutana na Mwanasoka huyo bora wa zamani wa dunia. Akiwa Inter Milan, Zlatan alicheza dhidi ya Ronaldo aliyekuwa AC Milan mwaka 2007 katika Serie A.
Manchester United bids for Sergej Milinkovic-Savic
-
La Repubblica reports that Manchester United has a bid to Lazio for
midfielder Sergej Milinkovic-Savic. With the departure of Nemanja Matic,
United are in ...
Sekunde 22 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni