Mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Brazil, Ronaldo Lima akiwa nyota wa PSG, Zlatan Ibrahimovic baada ya mechi dhidi ya Nice usiku wa jana mjini Paris, Ufaransa, Ibra alifunga bao pekee kwa penalti PSG ikishinda 1-0 na baada ya hapo akakutana na Mwanasoka huyo bora wa zamani wa dunia. Akiwa Inter Milan, Zlatan alicheza dhidi ya Ronaldo aliyekuwa AC Milan mwaka 2007 katika Serie A.
Name change and accents catch the eye at Brazil unveiling, see
-
Leonardo Pereira instead of Leo Pereira, Casemiro “Spanish-ified”... the
Brazilian National Team’s “presentation” on SportyTV’s channel for the FIFA
World ...
4 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment