Mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Brazil, Ronaldo Lima akiwa nyota wa PSG, Zlatan Ibrahimovic baada ya mechi dhidi ya Nice usiku wa jana mjini Paris, Ufaransa, Ibra alifunga bao pekee kwa penalti PSG ikishinda 1-0 na baada ya hapo akakutana na Mwanasoka huyo bora wa zamani wa dunia. Akiwa Inter Milan, Zlatan alicheza dhidi ya Ronaldo aliyekuwa AC Milan mwaka 2007 katika Serie A.
Adam Ramsay-Peaty kisses pregnant wife Holly's baby bump as he misses out
on gold and finishes in third place in the 100m breaststroke final at the
Commonwealth Games
-
Adam Ramsay-Peaty kissed pregnant wife Holly as he missed out on his 33rd
major gold medal as he finished in third place in the 100m breaststroke
final at ...
8 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment