• HABARI MPYA

    Sunday, November 30, 2014

    TOTO LA CHRIS EUBANK LACHAPWA NA MZUNGU

    Saunders (right) uses his quick feet to escape from Eubank Junior's left hook in front of a capacity crowd at the ExCeL centre
    Bondia Billy Joe Saunders (kulia) akipambana na Chris Eubank Junior kushoto usiku wa jana ukumbi wa ExCeL mjini London, katika pambano la uzito wa Middler. Saunders alishinda kwa pointi na kutetea mataji yake ya Uingereza, Jumuiya ya Madola na Ulaya- na sasa amepewa nafasi ya kuwania ubingwa wa dunia wa WBO mwakani.
    Chris Eubank (centre) congratulates Saunders on his victory against his son by shaking his hand after the final bell
    Chris Eubank (katikati) akimpongeza Saunders kwa ushindi dhidi ya mwanawe jana

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/boxing/article-2854529/Billy-Joe-Saunders-beats-bitter-rival-Chris-Eubank-Jnr.html#ixzz3KWUnjAx8 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TOTO LA CHRIS EUBANK LACHAPWA NA MZUNGU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top