• HABARI MPYA

    Sunday, November 23, 2014

    LEWIS MPYA ASHINDA KO YA 10 MFULULIZO AKIMMALIZA MPINDANI RAUNDI YA TATU TU

    BONDIA Anthony Joshua anayetarajiwa kuwa Lennox Lewis mpya, amempiga mpinzani wake mkongwe Michael Sprott na kuweka rekodi ya kushinda mapambano 10 mfululizo kwa Knockout (KO) tangu aanze ngumi za kulipwa.
    Bingwa huyo wa Olimpiki alianza vizuri pambano hilo mjini Liverpool akitamba kuanzia dakika ya kwanza, akimshambulia mfululizo mpinzani wake kiasi cha kumlazimisha refa kuingilia kati kuwaachanisha.
    Akiwa na umri wa miaka 39, Sprott alionyesha hizi si zama zake tena za kufurukuta kwenye ndondi za uzito wa juu, akifanya vibaya katika pambano la sita baada ya kupigwa kwa KO Ranudi ya tatu usiku wa jana.
    Joshua made it 10 wins in as many fights with another impressive display on Saturday night
    Joshua amefikisha mapambano 10 mfululizo ya kushinda kwa KO
    Joshua celebrates as Sprott (right) sinks in his chair after another impressive night for the the former Olympic champion
    Joshua akishangilia baada ya kummaliza Sprott 

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/boxing/article-2845755/Anthony-Joshua-dispatches-Michael-Sprott-90-seconds-make-10-KOs-10-fights.html#ixzz3JrkTtq2i 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LEWIS MPYA ASHINDA KO YA 10 MFULULIZO AKIMMALIZA MPINDANI RAUNDI YA TATU TU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top