• HABARI MPYA

    Saturday, November 29, 2014

    CHELSEA YAPUNGUZWA KASI LIGI KUU ENGLAND

    Chelsea forward Diego Costa gets in a tangle with Sunderland defender John O'Shea during the 0-0 draw at the Stadium of Light
    Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa akipambana na beki wa Sunderland, John O'Shea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo uliomalizika kwa sare 0-0 Uwanja wa Light.
    Sunderland striker Connor Wickham (centre) is tackled by Chelsea right-back Branislav Ivanovic while Gary Cahill of Chelsea watches on
    Mshambuliaji wa Sunderland, Connor Wickham (katikati) akikwatuliwa na beki wa kulia wa Chelsea, Branislav Ivanovic huku Gary Cahill wa Chelsea pia akifuatilia

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2854330/Sunderland-0-0-Chelsea-Diego-Costa-lucky-escape-red-Blues-held-Black-Cats-Stadium-Light.html#ixzz3KUK9UvjV 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAPUNGUZWA KASI LIGI KUU ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top