Wachezaji wa Azam FC, kutoka kushoto Nahodha John Bocco, Frank Domayo na Joseph Kimwaga wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Dar es Salaam (JNIA) leo kwa safari ya Afrika Kusini kwenda kufanyiwa vipimo baada ya kumaliza muda wa mapumziko kufuatia kuumia. Wachezaji wote wanatarajiwa kuanza kucheza mapema mwakani.
BOOCO, DOMAYO WAPAA AFRIKA KUSINI KWA VIPIMO
Wachezaji wa Azam FC, kutoka kushoto Nahodha John Bocco, Frank Domayo na Joseph Kimwaga wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Dar es Salaam (JNIA) leo kwa safari ya Afrika Kusini kwenda kufanyiwa vipimo baada ya kumaliza muda wa mapumziko kufuatia kuumia. Wachezaji wote wanatarajiwa kuanza kucheza mapema mwakani.
0 comments:
Post a Comment