• HABARI MPYA

    Sunday, November 23, 2014

    LEWIS HAMILTON NDIYE MFALME WA KUKIMBIZA MAGARI DUNIANI

    BRAZAMENI Lewis Hamilton ndiye mfalme wa mbio za magari tena. Historia imeangukia kwa kijana huyo mwenye umri wa miaka 29 kutoka Stevenage katika anga la kiza la Abu Dhabi, ziliangushwa sherehe kwa Muingereza huyo wa nne kushinda taji la dunia la Formula One.
    Prince Harry wa Wales – alimwagia pongezi kijana huyo, akimuambia: "Hakika wewe ni gwiji,". Pia walimuambia alikuwa dereva wa kwanza wa Mercedes-Benz tangu Juan-Manuel Fangio, mwaka 1955. 
    Brazameni huyo amemshinda Nico Rosberg katika fainali leo kunyakua taji hilo kwa pointi 67. 
    Lewis Hamilton kisses the Abu Dhabi Grand Prix trophy after winning the final race of the season
    Lewis Hamilton akibusu taji la Abu Dhabi Grand Prix baada ya kushinda leo
    Hamilton lifts the trophy at the end of a long and hard season in which he came out on top ahead of team-mate Nico Rosberg
    Hamilton akiinua taji lake mbele ya mchezaji mwenzake Nico Rosberg
    Hamilton akipongezwa na mpenzi wake, Nicole Scherzinger baada ya ushindi

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/formulaone/article-2846205/Lewis-Hamiton-wins-Abu-Dhabi-wraps-Drivers-Championship-rival-Nico-Rosberg-suffers-power-failure.html#ixzz3JuJd4G8E 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LEWIS HAMILTON NDIYE MFALME WA KUKIMBIZA MAGARI DUNIANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top