KOCHA wa zamani wa Chelsea, John Neal amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 82, vinara hao wa Ligi Kuu England wametangaza leo. Neal, alimrithi shujaa wa hat trick katika Kombe la Dunia mwaka 1966, Geoff Hurst Uwanja wa Stamford Bridge mwaka 1981, aliiongoza klabu hiyo kutwaa taji la pili mwaka 1984 kabla ya kustaafu kwa sababu ya maradhi mwaka mmoja baadaye. "Klabu ya soka ya Chelsea ina huzuni mno na kifo cha John Neal, mmoja kati ya makocha kipenzi na alma katika historia yetu. Klabu inatuma salamu zake za rambirambi kwa familia ya John na marafiki," imesema taarifa ya klabu. "John atakumbukwa daima Chelsea kwa kuiongoza timu wakati tupo ngazi za chini,".
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment