MWANASOKA bora wa dunia, Cristiano Ronaldo usiku huu amefikisha mabao 20 katika La Liga, wakati Real Madrid ikiichapa 4-0 Eibar. Wakati Ronaldo akifunga mabao mawili kwenye ushindi huo, na kufikisha 20 katika mechi 12, anaifanya Real Madrid ishinde mechi ya 14 mfululizo chini ya Carlo Ancelotti na kubakiza bao moja tu afikie rekodi ya Jose Mourinho kushinda mechi 15 mfululizo. Mabao mengine ya Real yamefungwa na James Rodriguez na Karim Benzema.
Trump administration detained more than 500 babies and toddlers in
immigration crackdown
-
Over 170 babies and toddlers were held for longer than a court-mandated
limit of 20 days, according to the report
5 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment