MWANASOKA bora wa dunia, Cristiano Ronaldo usiku huu amefikisha mabao 20 katika La Liga, wakati Real Madrid ikiichapa 4-0 Eibar. Wakati Ronaldo akifunga mabao mawili kwenye ushindi huo, na kufikisha 20 katika mechi 12, anaifanya Real Madrid ishinde mechi ya 14 mfululizo chini ya Carlo Ancelotti na kubakiza bao moja tu afikie rekodi ya Jose Mourinho kushinda mechi 15 mfululizo. Mabao mengine ya Real yamefungwa na James Rodriguez na Karim Benzema.
Adam Ramsay-Peaty kisses pregnant wife Holly's baby bump as he misses out
on gold and finishes in third place in the 100m breaststroke final at the
Commonwealth Games
-
Adam Ramsay-Peaty kissed pregnant wife Holly as he missed out on his 33rd
major gold medal as he finished in third place in the 100m breaststroke
final at ...
6 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment