MWANASOKA bora wa dunia, Cristiano Ronaldo usiku huu amefikisha mabao 20 katika La Liga, wakati Real Madrid ikiichapa 4-0 Eibar. Wakati Ronaldo akifunga mabao mawili kwenye ushindi huo, na kufikisha 20 katika mechi 12, anaifanya Real Madrid ishinde mechi ya 14 mfululizo chini ya Carlo Ancelotti na kubakiza bao moja tu afikie rekodi ya Jose Mourinho kushinda mechi 15 mfululizo. Mabao mengine ya Real yamefungwa na James Rodriguez na Karim Benzema.
Sweet moment Sam Williamson celebrates Gold win with his partner after
stunning 100m breaststroke final - as Aussie team cleans up at Commonwealth
Games
-
Only a year ago, Williamson feared he may never walk again after rupturing
his patella tendon in training.
11 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment