MWANASOKA bora wa dunia, Cristiano Ronaldo usiku huu amefikisha mabao 20 katika La Liga, wakati Real Madrid ikiichapa 4-0 Eibar. Wakati Ronaldo akifunga mabao mawili kwenye ushindi huo, na kufikisha 20 katika mechi 12, anaifanya Real Madrid ishinde mechi ya 14 mfululizo chini ya Carlo Ancelotti na kubakiza bao moja tu afikie rekodi ya Jose Mourinho kushinda mechi 15 mfululizo. Mabao mengine ya Real yamefungwa na James Rodriguez na Karim Benzema.
Dani Alves is told he would be 'KILLED' in Brazil as he is heckled and
jeered after being spotted in Barcelona following court hearing as
disgraced star appeals conviction for rape
-
The former Barcelona player was released from Brians 2 prison on Monday
after 15 months spent behind bars awaiting his trial for raping a woman in
December...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment