MWANASOKA bora wa dunia, Cristiano Ronaldo usiku huu amefikisha mabao 20 katika La Liga, wakati Real Madrid ikiichapa 4-0 Eibar. Wakati Ronaldo akifunga mabao mawili kwenye ushindi huo, na kufikisha 20 katika mechi 12, anaifanya Real Madrid ishinde mechi ya 14 mfululizo chini ya Carlo Ancelotti na kubakiza bao moja tu afikie rekodi ya Jose Mourinho kushinda mechi 15 mfululizo. Mabao mengine ya Real yamefungwa na James Rodriguez na Karim Benzema.![Ronaldo pumps his fists to the crowd after scoring his first, and Real Madrid's second, of the night](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_so9uNYnuowmvynIa6kBbbkUQj5hfmFdUE3Hp4e5iwg61kjbp12zkZ3RcgvEDtPoC1NvF9_iZX5iTNbdIyCmlxFjAIW1wIhYjhc_SzutLRSMUmHTDNleW-dnkSUcI4TXloxJbVnJ9ayiref_cBbjlhjm990pIHLpSpD=s0-d)
LeBron James compared to George Washington while carrying American flag at
2024 Olympics opening ceremony
-
The four-time NBA champ, who served as the nation's flag bearer alongside
tennis star Coco Gauff, was seen standing on the front of a boat floating
down th...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment