• HABARI MPYA

    Sunday, November 23, 2014

    RONALDO AFUNGA MAWILI REAL IKIUA 4-0 LA LIGA


    MWANASOKA bora wa dunia, Cristiano Ronaldo usiku huu amefikisha mabao 20 katika La Liga, wakati Real Madrid ikiichapa 4-0 Eibar. Wakati Ronaldo akifunga mabao mawili kwenye ushindi huo, na kufikisha 20 katika mechi 12, anaifanya Real Madrid ishinde mechi ya 14 mfululizo chini ya Carlo Ancelotti na kubakiza bao moja tu afikie rekodi ya Jose Mourinho kushinda mechi 15 mfululizo. Mabao mengine ya Real yamefungwa na James Rodriguez na Karim Benzema.Ronaldo pumps his fists to the crowd after scoring his first, and Real Madrid's second, of the night
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AFUNGA MAWILI REAL IKIUA 4-0 LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top