Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MECHI za kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika mwakani Equatorial Guinea zimefikia tamati jana na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imefuzu kama mshindi wa tatu bora.
Kongo imekamilisha nafasi ya mwisho katika siti za ndege za kwenda Equatorial Guinea 2015 baada ya kuwa timu iliyomaliza nafasi ya tatu ikiwa na wastani mzuri zaidi wa matokeo kutoka makudi yote saba.
Mabingwa hao wa mwaka 1968 na 1974, walipata nafasi hiyo baada ya Misri kufungwa mabao 2-1 na wapinzani wao wa Kaskazini mwa Afrika, Tunisia katika Kundi G mjini Monastir.
DRC ambayo iliifunga Sierra Leone 3-1 mjini Kinshasa, imemaliza na pointi tisa, ambazo ni nyingi zaidi kwa timu zilizomaliza nafasi ya tatu kwenye makundi yote saba.
Mabingwa mara saba, Misri, wameshindwa kufuzu kwa mara ya tatu mfululizo baada ya Tunisia kutoka nyuma na kuwafunga. Mafarao, waliongoza hadi mapumziko kwa bao la mshambuliaji wa Chelsea, Mohamed Salah kabla ya Tunisia kuzinduka na kupata mabao kupitia kwa Yassine Chikaoui dakika ya 52 na Whabi Khazri dakika tisa kabla ya filimbi ya mwisho.
Nchi zilizofuzu AFCON ya mwakani mbali ya wenyeji Equatorial Guinea; ni Algeria, Burkina Faso, Cape Verde, Cameroon, Kongo, Ivory Coast, DRC, Gabon, Ghana, Guinea, Mali, Senegal, Afrika Kusini, Tunisia na Zambia.
MSIMAMO WA MAKUNDI BAADA YA MECHI ZA KUFUZU AFCON 2015
Kundi A
Timu P W D L GF GA GD Pts
1 A. Kusini 6 3 3 0 9 3 6 12
2 Congo 6 3 1 2 6 6 0 10
3 Nigeria 6 2 2 2 9 7 2 8
4 Sudan 6 1 0 5 3 11 -8 3
Kundi B
Timu P W D L GF GA GD Pts
1 Algeria 6 5 0 1 11 4 7 15
2 Mali 6 3 0 3 8 6 2 9
3 Malawi 6 2 1 3 5 9 -4 7
4 Ethiopia 6 1 1 4 7 12 -5 4
Kundi C
Timu P W D L GF GA GD Pts
1 Gabon 6 3 3 0 9 4 5 12
2 Burkina Faso 6 3 2 1 8 4 4 11
3 Angola 6 1 3 2 5 5 0 6
4 Lesotho 6 0 2 4 3 12 -9 2
Group D
Timu P W D L GF GA GD Pts
1 Cameroon 6 4 2 0 9 1 8 14
2 Ivory Coast 6 3 1 2 13 11 2 10
3 DRC 6 3 0 3 10 9 1 9
4 Sierra Leone 6 0 1 5 3 14 -11 1
Kundi E
Timu P W D L GF GA GD Pts
1 Ghana 6 3 2 1 11 7 4 11
2 Guinea 6 3 1 2 10 8 2 10
3 Uganda 6 2 1 3 4 5 -1 7
4 Togo 6 2 0 4 7 12 -5 6
Kundi F
Timu P W D L GF GA GD Pts
1 Cape Verde 6 4 0 2 9 6 3 12
2 Zambia 6 3 2 1 6 2 4 11
3 Msumbiji 6 1 3 2 4 4 0 6
4 Niger 6 0 3 3 4 11 -7 3
Kundi G
Timu P W D L GF GA GD Pts
1 Tunisia 6 4 2 0 6 2 4 14
2 Senegal 6 4 1 1 8 1 7 13
3 Misri 6 2 0 4 5 6 -1 6
4 Botswana 6 0 1 5 1 11 -10 1
MECHI za kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika mwakani Equatorial Guinea zimefikia tamati jana na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imefuzu kama mshindi wa tatu bora.
Kongo imekamilisha nafasi ya mwisho katika siti za ndege za kwenda Equatorial Guinea 2015 baada ya kuwa timu iliyomaliza nafasi ya tatu ikiwa na wastani mzuri zaidi wa matokeo kutoka makudi yote saba.
Mabingwa hao wa mwaka 1968 na 1974, walipata nafasi hiyo baada ya Misri kufungwa mabao 2-1 na wapinzani wao wa Kaskazini mwa Afrika, Tunisia katika Kundi G mjini Monastir.
![]() |
DRC wamefuzu kama washindi wa tatu wa bora, wakiipiku Misri |
DRC ambayo iliifunga Sierra Leone 3-1 mjini Kinshasa, imemaliza na pointi tisa, ambazo ni nyingi zaidi kwa timu zilizomaliza nafasi ya tatu kwenye makundi yote saba.
Mabingwa mara saba, Misri, wameshindwa kufuzu kwa mara ya tatu mfululizo baada ya Tunisia kutoka nyuma na kuwafunga. Mafarao, waliongoza hadi mapumziko kwa bao la mshambuliaji wa Chelsea, Mohamed Salah kabla ya Tunisia kuzinduka na kupata mabao kupitia kwa Yassine Chikaoui dakika ya 52 na Whabi Khazri dakika tisa kabla ya filimbi ya mwisho.
Nchi zilizofuzu AFCON ya mwakani mbali ya wenyeji Equatorial Guinea; ni Algeria, Burkina Faso, Cape Verde, Cameroon, Kongo, Ivory Coast, DRC, Gabon, Ghana, Guinea, Mali, Senegal, Afrika Kusini, Tunisia na Zambia.
![]() |
Saydou Keita ameiongoza Mali kufuzu jana |
Kundi A
Timu P W D L GF GA GD Pts
1 A. Kusini 6 3 3 0 9 3 6 12
2 Congo 6 3 1 2 6 6 0 10
3 Nigeria 6 2 2 2 9 7 2 8
4 Sudan 6 1 0 5 3 11 -8 3
Kundi B
Timu P W D L GF GA GD Pts
1 Algeria 6 5 0 1 11 4 7 15
2 Mali 6 3 0 3 8 6 2 9
3 Malawi 6 2 1 3 5 9 -4 7
4 Ethiopia 6 1 1 4 7 12 -5 4
Kundi C
Timu P W D L GF GA GD Pts
1 Gabon 6 3 3 0 9 4 5 12
2 Burkina Faso 6 3 2 1 8 4 4 11
3 Angola 6 1 3 2 5 5 0 6
4 Lesotho 6 0 2 4 3 12 -9 2
Group D
Timu P W D L GF GA GD Pts
1 Cameroon 6 4 2 0 9 1 8 14
2 Ivory Coast 6 3 1 2 13 11 2 10
3 DRC 6 3 0 3 10 9 1 9
4 Sierra Leone 6 0 1 5 3 14 -11 1
Kundi E
Timu P W D L GF GA GD Pts
1 Ghana 6 3 2 1 11 7 4 11
2 Guinea 6 3 1 2 10 8 2 10
3 Uganda 6 2 1 3 4 5 -1 7
4 Togo 6 2 0 4 7 12 -5 6
Kundi F
Timu P W D L GF GA GD Pts
1 Cape Verde 6 4 0 2 9 6 3 12
2 Zambia 6 3 2 1 6 2 4 11
3 Msumbiji 6 1 3 2 4 4 0 6
4 Niger 6 0 3 3 4 11 -7 3
Kundi G
Timu P W D L GF GA GD Pts
1 Tunisia 6 4 2 0 6 2 4 14
2 Senegal 6 4 1 1 8 1 7 13
3 Misri 6 2 0 4 5 6 -1 6
4 Botswana 6 0 1 5 1 11 -10 1
![]() |
Ivory Coast imefuzu pia Fainali za Mataifa ya Afrika |
0 comments:
Post a Comment