Kiungo Ross Barkley (kushoto) akishangilia na wachezaji wenzake Eden Hazard (kulia) na Olivier Giroud (katikati) baada ya kuifungia bao la pili Chelsea dakika ya 57 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. Mary's. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Hazard dakika ya 30 na Alvaro Morata dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Agent Rio! Ferdinand jokes he discussed Man United job with Thomas Tuchel
amid the Bayern manager's links to Old Trafford - and claims the German
will have some 'big offers' when he leaves
-
Tuchel and Ferdinand got cosy in the build-up to Bayern''s Champions League
clash at Real Madrid, whispering, sharing laughs, and slapping each other.
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment