Mshambuliaji Muagleria, Riyad Mahrez akijivuta kupiga penalti ambayo alikosa dakika ya 86 kufuatia beki wa Liverpool, Mholanzi Virgil Van Dijk kumuangusha Mjerumani Leroy Sane wa Manchester City timu hizo zikitoka sare ya 0-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Red card 'worst decision in Champions League history' - Hayes
-
Chelsea manager Emma Hayes says the "worst decision in Women's Champions
League history" led to her side losing to Barcelona in the semi-final at a
sold-ou...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment