Kiungo Ross Barkley (kushoto) akishangilia na wachezaji wenzake Eden Hazard (kulia) na Olivier Giroud (katikati) baada ya kuifungia bao la pili Chelsea dakika ya 57 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. Mary's. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Hazard dakika ya 30 na Alvaro Morata dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arne Slot names key reason for Liverpool's struggles in front of goal and
insists £125m signing would have had a 'huge impact' on their season
-
LEWIS STEELE: Arne Slot says missing out on injured Alexander Isak for the
majority of this season has had a massive impact on why Liverpool have
scored a ...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment