Kiungo Ross Barkley (kushoto) akishangilia na wachezaji wenzake Eden Hazard (kulia) na Olivier Giroud (katikati) baada ya kuifungia bao la pili Chelsea dakika ya 57 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. Mary's. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Hazard dakika ya 30 na Alvaro Morata dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arizona Diamondbacks' game against LA Dodgers is delayed due to a BEE
COLONY swarming behind home plate - forcing seats to be evacuated
-
The start of the Arizona Diamondbacks game against the Los Angeles Dodgers
was delayed due to a bee colony swarming behind home plate, forcing seats
in a f...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment