Kiungo Ross Barkley (kushoto) akishangilia na wachezaji wenzake Eden Hazard (kulia) na Olivier Giroud (katikati) baada ya kuifungia bao la pili Chelsea dakika ya 57 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. Mary's. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Hazard dakika ya 30 na Alvaro Morata dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious row breaks out at Cheltenham Festival between rival jockeys - as
one accuses the other of 'abuse' in front of his wife and kids
-
Amateur jockey Declan Queally has claimed he was 'abused' by Nico de
Boinville before the opening race on the second day of the Cheltenham
Festival.
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment